iqna

IQNA

wasomjai maarufu wa qurani tukufu
Wasomaji maarufu wa Qur'ani Tukufu / 16
TEHRAN (IQNA) - Baadhi ya maqarii au wasomaji Qur'ani Tukufu hulenga tu kuwa Lahni nzuri na Maqamat au mbinu za qiraa lakini katika upande wa pili usomaji wa Qur'ani Tukufu wa Ustadh Abdul Basit Abdul Samad ulikuwa rahisi lakini wakati huo huo wa kiroho, wenye ufanisi na kiufundi.
Habari ID: 3476280    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/21